Saturday, 25 January 2014

HALI HALISI YA DUMIALA MKOA WA MOROGORO BAADA YA MVUA KUNYESHA


  Baadhi ya wananchi wa Dumila wakiwa kando kando ya mto huo kuangalia kama kuna maiti nyingine, baada ya maiti moja kukutwa ikieleza kwenye mto Mkundi, marehmu huyo alisombwa na maji hayo akiwa shambani kwake 
 Mahakama ya Kijiji cha Magole nayo ilijaa maji na baadhi ya mafaili ya washitakiwa kudaiwa kusombwa na mafuriko hayo.


 


             Mama akiokoa vyombo vyake


        Jamaa wakiopoa boda boda yao


 Hatari watoto wakiogelea kwenye maji hayo ya mafuriko .


 Wananchi wakiangaika kuokoa vyombo vyao
              Sehemu ya daraja iliyokatika.
Picha zote na Dustan shekidele, Morogoro

Socializer Widget By Blogger Yard
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →

0 comments:

Post a Comment